Tamthilia ya Gredi ya 8 Mwongozo Kamilifu wa WEMA HAUOZI
BySamson Keyah
Price
KES 10.0
Soft Copy Available
About this Book
Mwongozo huu umeandikwa kwa lengo la kumsaidia mwanafunzi
kuelewa tamthilia ya “Wema Hauozi” na kwa ujumla kumsaidia
mwanafunzi kuelewa uchambuzi wa tamthilia yoyote ile.
Mwandishi alizingatia vipengele mbalimbali ili kujenga ufahamu
mpana wa mwanafunzi.
DHANA YA TAMTHILIA
Tamthilia ni kazi andishi ya fasihi inayowasilisha mchezo wa kuigiza.
Tamthilia hutungwa kwa kuwahusisha wahusika wanaozungumziana
moja kwa moja.